- 73 views
Kinara wa chama cha ODM Raila Odinga na spika wa bunge la kitaifa Moses Wetang'ula ni miongoni mwa viongozi mashuhuri waliotoa risala zao za rambirambi kufuatia kifo cha Papa Francis. Viongozi hao pamoja na baadhi ya wabunge, walikusanyika katika makao ya mwakilishi wa Baba Mtakatifu humu nchini jijini Nairobi, kunakili jumbe zao kwenye kitabu cha maombolezi na kutoa heshima zao za mwisho. Viongozi hao walikariri ushawishi mkubwa wa Papa Francis sio tu kama kiongozi wa kiroho, mbali kama ishara ya amani, upendo na haki ulimwenguni.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Viongozi watoa rambirambi zao kufuatia kifo cha Papa Francis
- 1 May 2025 - Israeli Defence Minister Israel Katz ordered troops to deploy on Wednesday to support firefighters battling rapidly spreading wildfires near Jerusalem, calling the situation a "national emergency".
- 1 May 2025 - US President Donald Trump said Wednesday he was considering legal action against the New York Times, in his latest attack on a major media outlet.
- 1 May 2025 - Kasipul MP Charles Ong'ondo Were has been shot dead this evening at the City Mortuary round about in Nairobi.
- 1 May 2025 - The government now says it has not introduced any new taxes in the Finance Bill 2025, saying the move is meant to reduce the high cost of living in the country.
- 1 May 2025 - Intrigues on Gachagua's party and fate of allied MPs
- 1 May 2025 - Atwoli: A political wheeler-dealer disguised as the workers' defender
- 1 May 2025 - Cost of living: How salaries have changed since last Labour Day
- 1 May 2025 - Trapped abroad, silenced at home: the agony of job-seeking Kenyans
- 1 May 2025 - Why you are likely to lose your land to family, not fraudsters
- 1 May 2025 - How Barrakoi six were shot dead by police as kin cry out for justice