- 2,791 viewsDuration: 2:04Vongozi wa Chama cha ODM wakiongozwa na mwenyekiti wa chama hicho ambaye pia ni gavana wa kaunti ya Homabay Gladys Wanga wasisitiza kuwa chama kitasalia imara licha changamoto ya kifo cha Raila Odinga na kutoweka chamani kwa baadhi ya wanachama muhimu.