- 9,865 viewsDuration: 3:15Vurugu lilishuhudiwa katika mtaa wa Kipkaren jijini Eldoret, kaunti ya Uasin Gishu, ambako wakazi wenye ghadhabu wamebomoa zaidi ya nyumba 100 wanazosema zimejengwa kwenye ardhi ya umma. Wakazi hawa wakimlaumu mwakilishi mmoja wa eneo hilo kumiliki ardhi hiyo kinyume na sheria. Wakazi hawa wamesema wataendelea kubomoa nyumba zaidi wanazosema zimejengwa kwenye ardhi ya umma.