Skip to main content
Skip to main content

Vyama vya ushirika Pwani vitaka Mswada wa Ushirika upitishwe

  • | Citizen TV
    131 views
    Duration: 1:52
    Vyama vya ushirika katika ukanda wa Pwani pamoja na muungano wa wafanyabiashara na viwanda vimeliomba National Assembly of Kenya kupitisha Mswada wa Vyama vya Ushirika, wakisema sheria hiyo itasaidia kuondoa changamoto zinazoikabili sekta hiyo.