- 131 viewsDuration: 1:52Vyama vya ushirika katika ukanda wa Pwani pamoja na muungano wa wafanyabiashara na viwanda vimeliomba National Assembly of Kenya kupitisha Mswada wa Vyama vya Ushirika, wakisema sheria hiyo itasaidia kuondoa changamoto zinazoikabili sekta hiyo.