- 34 viewsKatika mwaka wa masomo uliopita, vyuo vya Marekani na vyuo vikuu vilishuhudia ongezeko la asilimia 32 la wanafunzi kutoka Ghana, na kuifanya Ghana kuwa moja ya nchi za 25 duniani kwa kutuma wanafunzi nchini Marekani. Ili kukabiliana na ongezelo la maslahi, Ubalozi wa Marekani nchini Ghana umefungua kituo kipya cha kupata habari kwa vijana wanaofikiria kuja kusoma nchini Marekani. #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Vyuo vikuu Marekani yapokea wanafunzi wengi kutoka Ghana
- - Uongozi today ››
- 3 May 2024 - Interior Cabinet Secretary Kithure Kindiki has issued a directive for the voluntary vacation or mandatory evacuation of all individuals residing in the vicinity of 178 dams and water reservoirs across 33 counties.
- 3 May 2024 - Angry locals on Thursday evening killed a middle-aged woman and torched several houses in a retaliatory attack caused by a land tussle in West Kanyamkago, Uriri Sub-county, Migori County.
- » Vice KDF chief for 55 days, first woman service commander: How Ruto made twin history with appointments3 May 2024 - Gen Kahariri takes over as Chief of Defence Forces following the death of Gen Francis Ogolla.
- 3 May 2024 - Reading Time: 3 minutes Six suspected Al Shabaab terrorists were Wednesday afternoon killed in a raid by a multi-agency team led by the Kenya […]
- 3 May 2024 - Nigeria's military has ordered two officers to face court martial proceedings over a drone strike that killed at least 85 civilians, the defence HQ said on Thursday, more than four months after President Bola Tinubu ordered an investigation.
- 3 May 2024 - Legend has it that anti-colonialism heroine Mekatilili Wa Menza used to rest under the tree while on her missions.
- 3 May 2024 - Private health facilities cater for 70 per cent of the health needs of residents in the county
- - Cartoon: May 3, 2024
- 3 May 2024 - Says the state is not doing enough to help affected people in the county
- 3 May 2024 - Swearing-in of Chief of Defence Forces (CDF) General Charles Muriu Kahariri and other top command of Kenya Defence Forces is underway at State House, Nairobi.