Skip to main content
Skip to main content

Waathiriwa wa maandamano watakiwa kujiandikisha

  • | Citizen TV
    3,698 views
    Duration: 31s
    Leo ikiwa ni siku ya mwisho kwa waathiriwa wa ghasia kuwasilisha madai yao ili kupata fidia, tume ya kutetea haki za binadamu KNCHR imewataka wale wote ambao bado hawajajiadikisha kufanya hivyo kabla ya siku hii kukamilika.