- 543 views
Wabunge kutoka kaunti ya Garissa wamepinga vikali mpango wa serikali na shirika la Umoja wa mataifa kuhusu wakimbizi -UNHCR - kutaka kujumuisha wakimbizi na jamii zinazoishi karibu na kambi za wakimbizi. Wabunge hao wakiongozwa na mbunge wa Daadab Farah Maalim wamekashifu serikali na UNHCR kwa kuendeleza mpamgo huo bila kuhusisha jamii zinazoishi karibu na kambi hizo. Wabunge hao pia wamemkashifu katibu katika wizara ya uhamiaji Julius Bitok kwa ubaguzi kuhusiana na uteuzi wa maafisa wanaosimamia maswala ya wakimbizi
Wabunge kutoka Garissa wapinga mpango wa serikali wa kujumuisha wakimbizi na jamii za karibu
- 18 May 2024 - COTU Secretary General Francis Atwoli now says the upcoming meeting of leaders drawn from the Western Kenya region at the Bukhungu Stadium in Kakamega County will rattle the country’s political landscape.
- 18 May 2024 - Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi has cautioned leaders against taking the country back to dark days when politics of ethnicity were commonplace.
- 18 May 2024 - President William Ruto's allies have come out guns blazing to dismiss the Limuru III meeting that happened on Friday, terming it as a divisive way of trying to push an agenda and undermine the Kenya Kwanza rule.
- 18 May 2024 - The Vatican on Friday tightened procedures for evaluating reported supernatural events such as weeping Madonnas and blood-dripping crucifixes that have for centuries whipped up the Catholic faithful.
- 18 May 2024 - The Ministry of Health has warned of possible outbreaks of waterborne diseases and other infections in schools following the recent floods experienced in most parts of the country.
- 18 May 2024 - Cases of bird flu have been confirmed among wild fowl in western China, the agriculture ministry said on Saturday, as concerns grow over a U.S. outbreak infecting cattle herds.
- 18 May 2024 - EACC has recommended the prosecution of politician Cyrus Jirongo, FKF President Nick Mwendwa and former Sports PS Amb. Peter Kaberia.
- 18 May 2024 - On Friday, 14 MPs from the Democratic Party accused the House Speaker of disrespecting Kenya.
- 18 May 2024 - Say politics of regional and ethnic balkanisation have been passed by time
- 18 May 2024 - Raila made his intention clear at a rally in Suna East, Migori County.