Skip to main content
Skip to main content

Wabunge wataka wasimamizi wa chuo cha Aldai watozwe faini ya shilingi milioni-3 zilizolipwa kimakosa

  • | KBC Video
    852 views
    Duration: 3:21
    Wabunge wanataka wasimamizi wa chuo cha mafunzo ya kiufundi cha Aldai kubadilishwa, kwa madai kuwa maafisa walioko sasa hawafai kuendelea kushikilia nyadhifa za umma. Aidha, wabunge wameagiza kuwa usimamizi wa chuo hicho utozwe faini ya shilingi milioni 3, ambazo zinapaswa kulipwa katika kipindi cha miezi sita. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive