- 36 views
Makundi ya kijamii, wataalamu wa sheria, na watetezi wa haki za watu walio na ulemavu wanatahadharisha kwamba mfumo wa haki wa Kenya bado unawabagua kwa kiwango kikubwa. Suala sugu la kutiliwa shaka ni matumizi yanayoendelea ya sheria za kikoloni kama vile Kanuni ya mchakato wa jinai ya mwaka 1962, ambayo wanaharakati wanasema inawabagua watu wenye ulemavu wa kisaikolojia na wa kiakili. Ripoti mpya iliyozinduliwa na Tume ya Kimataifa ya Wanasheria (ICJ), tawi la Kenya, imefichua kuwa licha ya mageuzi ya kisheria ya hivi majuzi, ikiwa ni pamoja na Sheria ya Watu Wenye Ulemavu ya 2025 na Sera mpya ya Kitaifa ya Ulemavu, mahakama nyingi bado hazina mifumo ya ujumuishaji, marekebisho ya haki, wala huduma za msingi za kuwasaidia walemavu.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Wadau wataka mfumo wa haki uzingatie watu wenye ulemavu
- 1 Aug 2025 - A total of 314 cases and five deaths as a result of the Mpox disease, also known as Monkeypox, have been confirmed in Kenya since the outbreak of the disease in July 2024.
- 1 Aug 2025 - Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi has assured teachers of the government’s continuous assessment of the status of education standards in the country.
- 1 Aug 2025 - The High Court in Nairobi has overturned the acquittal of seven individuals linked to the multi-billion Anglo Leasing Scandal, directing them to be put on their defence.
- 1 Aug 2025 - Prime time can be packed with headlines at times. Take the quiz to see how well you kept up with this week's top stories.
- 1 Aug 2025 - The US has been a key strategic partner for Kenya.
- 1 Aug 2025 - Sectors with highest exposure to harmful chemicals in plastic.
- 1 Aug 2025 - Margaret Nduta, the Kenyan woman condemned to death in Vietnam for drug trafficking, can now heave a sigh of relief after a Vietnamese court commuted her death penalty to a life sentence.
- 1 Aug 2025 - They shared a platform at State House, Nairobi, during a joint East African Community (EAC) and Southern African Development Community (SADC) co-chairs meeting
- 1 Aug 2025 - Kenya confirms 314 Mpox cases across 22 counties
- 1 Aug 2025 - This can be further broken down into $9.7 billion in green sectors of wind, solar and waste-to- energy — also the highest half-year figure since BRI's inception in 2013.