- 2,635 views
Wafanyabiashara waliopoteza mali yao katika maandamano ya wiki jana wanahangaika kujenga upya maisha na biashara zao. Wengi walipata hasara kubwa baada ya wahuni kutumia maandamano hayo kupora maduka. Bidhaa za thamani ya mamilioni ya pesa ziliharibiwa katika machafuko hayo. Katika juhudi za kujikwamua, baadhi ya wafanyabiashara wameanza harakati za kuchangisha fedha, wakitumia mitandao ya kijamii kuomba msaada kutoka kwa marafiki, wahisani, na wakenya wenzao. Walizungumza na mwanahabari wetu Ben Kirui na hii hapa taarifa hiyo.
Wafanyabiashara walioathiriwa na maandamano waanzisha kampeni za michango
- 6 Jul 2025 - Japan's government on Saturday warned of more possible strong earthquakes in waters southwest of its main islands, but urged the public not to believe unfounded manga comic-book predictions of a major disaster.
- 6 Jul 2025 - Traders affected by the recent demonstrations held in honour of victims of last year’s anti-Finance Bill protests are now struggling to rebuild their lives and livelihoods.
- 6 Jul 2025 - Deputy President Kithure Kindiki and other leaders backing the broad-based government have intensified attacks on the opposition, calling for unity to heal the nation.
- 6 Jul 2025 - The High Commission of Rwanda in Kenya has marked 31 years of liberation — a commemoration of the country’s remarkable transformation, from a painful past under an oppressive regime to a future defined by unity, progress, and resilience.
- 6 Jul 2025 - Saba Saba's long harvest and why struggle is never wasted
- 6 Jul 2025 - Joho leads Coast MPs in Ruto campaign
- 6 Jul 2025 - Mr President you risk bringing idolatry in church, State House
- 6 Jul 2025 - Kenya today: An angry nation sliding towards self-destruction
- 6 Jul 2025 - 35 years later, Saba Saba continues: Meeting of different generations, same script
- 6 Jul 2025 - Parliament's CDF coup: The Senate should halt this constitutional heist