Skip to main content
Skip to main content

Wafanyakazi wa zamani wa NHIF wasalia njiapanda kwa kukosa malipo

  • | Citizen TV
    851 views
    Duration: 3:01
    Haya yanapojiri, baadhi ya wafanyakazi waliohudumu kwenye hazina ya NHIF iliyovunjiliwa mbali wamesalia kwenye njia panda baada ya kukosa kuajiriwa tena baada ya kuanza kwa bima ya SHA. Wafanyakazi hawa wanasema tume ya huduma za umma ilikosa kuwaajiri na kuwacha kuwalipa mishahara, licha ya kusaini hatua ya kukubali kuhamishwa kwenye idara nyingine serikalini.