Wafuasi wa Rais wa Korea Kusini waandamana kupinga kukamatwa kwake
Mamia ya wafuasi wa Rais wa Korea Yoon Suk Yeol walipinga kukamatwa kwake mbele ya ofisi inayochunguza makosa ya ufisadi ya maafisa wa ngazi ya juu katika mji wa Gwacheon Jumatano.
Maafisa wa Korea Kusini Jumatano walimkamata Rais aliyeondolewa na bunge Yoon Suk Yeol kufuatia tuhuma za uasi, huku kiongozi huyo akisema amekubali uchunguzi dhidi yake uendelee ili kuepusha “umwagaji damu”.
Yoon alionekana katika msafara wa magari akiwasili kwenye ofisi ya idara ya kupambana na ufisadi Jumatano asubuhi, ambayo inasimamia uchunguzi huo.
Maafisa wana saa 48 kumuhoji Yoon, baada ya hapo watatafuta hati ya kuendelea kumshikilia kwa siku 20 au kumuachia huru.
Yoon ni rais wa kwanza wa Korea Kusini kukamatwa akiwa madarakani, licha ya kuwa taifa hilo la Asia lina historia ya kuwafungulia mashtaka na kuwafunga jela viongozi wa zamani.
Polisi walikuwa walipeleka maafisa 3,200 kwenye makazi ya Yoon kutekeleza hati ya kumkamata Jumatano, ambako mamia ya waandamanaji wanaomuunga mkono Yoon na wanachama wa chama chake cha People Power walikuwa wamekusanyika kabla ya Alfajiri chini ya baridi kali. - Reuters
#koreakusini #rais #wafuasi #maandamano #ofisiyauchunguzi #ufisadi #voa #voaswahili
16 Jun 2025
- The police constable who was first arrested in connection to Ojwang's death has spoken up.
16 Jun 2025
- The weatherman has also listed regions that are expected to experience cold temperatures.
16 Jun 2025
- The late Albert Ojwang's father revealed details of a phone conversation with the president.
17 Jun 2025
- Someone within government circles labelled him a prime suspect at a meeting of top officials.
17 Jun 2025
- According to United Nations Population Fund, persons with disabilities make up 2.2 per cent of the population — about 900,000 people.
17 Jun 2025
- The plastic waste menace birthed the idea to produce fuel from plastics, he says
17 Jun 2025
- The actual figure may be higher, as some counties did not disclose their borrowing
17 Jun 2025
- Imlu says underlying bad blood where NPS officers have reportedly refused to cooperate could stall investigations.
17 Jun 2025
- The appellate court agreed that this crucial detail had been ignored.
17 Jun 2025
- Thousands of civil servants serving in positions of directors and above have been left in utter shock after the government set standards that require them to have Master’s Degrees. The Public Service Commission (PSC) has sent shockwaves through the…
17 Jun 2025
- Last week’s high-level meeting in Changsha between China’s top diplomat Wang Yi and representatives from 53 African countries sent a powerful and optimistic message: China is moving with clarity and purpose to implement the 10-point action plan unveiled…
17 Jun 2025
- Christine Riaro and her all-star team of Tabitha Ojwang, Joyce Osike and Griffins Owino extended their dominance a the 12th leg of the KCB East Africa Golf Tour at Nyanza Golf Club, sealing a third consecutive victory at the Nyanza leg with a combined…
17 Jun 2025
- A 35-year-old fisherman died in a police holding cell at Kipasi Police Post in Suba North Constituency, Homa Bay County, raising fresh concerns over the security of individuals being detained in police custody. The incident comes after the controversial…