Mamia ya wafuasi wa Rais wa Korea Yoon Suk Yeol walipinga kukamatwa kwake mbele ya ofisi inayochunguza makosa ya ufisadi ya maafisa wa ngazi ya juu katika mji wa Gwacheon Jumatano.
Maafisa wa Korea Kusini Jumatano walimkamata Rais aliyeondolewa na bunge Yoon Suk Yeol kufuatia tuhuma za uasi, huku kiongozi huyo akisema amekubali uchunguzi dhidi yake uendelee ili kuepusha “umwagaji damu”.
Yoon alionekana katika msafara wa magari akiwasili kwenye ofisi ya idara ya kupambana na ufisadi Jumatano asubuhi, ambayo inasimamia uchunguzi huo.
Maafisa wana saa 48 kumuhoji Yoon, baada ya hapo watatafuta hati ya kuendelea kumshikilia kwa siku 20 au kumuachia huru.
Yoon ni rais wa kwanza wa Korea Kusini kukamatwa akiwa madarakani, licha ya kuwa taifa hilo la Asia lina historia ya kuwafungulia mashtaka na kuwafunga jela viongozi wa zamani.
Polisi walikuwa walipeleka maafisa 3,200 kwenye makazi ya Yoon kutekeleza hati ya kumkamata Jumatano, ambako mamia ya waandamanaji wanaomuunga mkono Yoon na wanachama wa chama chake cha People Power walikuwa wamekusanyika kabla ya Alfajiri chini ya baridi kali. - Reuters
#koreakusini #rais #wafuasi #maandamano #ofisiyauchunguzi #ufisadi #voa #voaswahili
1 May 2025
- The 76-year-old born into a humble family of 10 children is the first clergyman from the west African country to receive a red hat, having been made cardinal in 2003 by John Paul II.
1 May 2025
- National Assembly Speaker Moses Wetang’ula has described Kasipul Member of Parliament Charles Were, who was shot dead on Wednesday evening in Nairobi, as a fearless and committed public servant.
1 May 2025
- In a Wednesday statement released by the Office of the Inspector General, the incident occurred at approximately 7:30 p.m. on Wednesday along Ngong Road, near the City Mortuary roundabout.
1 May 2025
- The defeated Democrat told supporters the apparent "chaos" of the last three months was actually the realization of a long-cherished plan by conservatives who are using Trump to twist the United States to their own advantage.
1 May 2025
- South Africa's President Cyril Ramaphosa is setting up a judicial commission of inquiry to establish whether attempts were made to prevent the investigation or prosecution of apartheid-era crimes, his office said on Wednesday.
1 May 2025
- Iran on Wednesday executed a man convicted of espionage for Israel's Mossad spy agency and involvement in the 2022 assassination of a Revolutionary Guards colonel, the judiciary said.
1 May 2025
- The government plans to lease out four public sugar factories—Nzoia, Chemilil, Muhoroni and Sony—under a carefully structured process that has received strong backing from some key industry stakeholders. The initiative, spearheaded by a committee led by…
1 May 2025
- Gor Mahia midfield maestro Austin Odhiambo has declared his team’s readiness for the Football Kenya Federation (FKF) Cup quarterfinal clash against Kariobangi Sharks. Sinisa Mihic’s team faces off against Sharks this Thursday, May 1, 2025, in Dandora…