Wafuasi wa Rais wa Korea Kusini waandamana kupinga kukamatwa kwake
Mamia ya wafuasi wa Rais wa Korea Yoon Suk Yeol walipinga kukamatwa kwake mbele ya ofisi inayochunguza makosa ya ufisadi ya maafisa wa ngazi ya juu katika mji wa Gwacheon Jumatano.
Maafisa wa Korea Kusini Jumatano walimkamata Rais aliyeondolewa na bunge Yoon Suk Yeol kufuatia tuhuma za uasi, huku kiongozi huyo akisema amekubali uchunguzi dhidi yake uendelee ili kuepusha “umwagaji damu”.
Yoon alionekana katika msafara wa magari akiwasili kwenye ofisi ya idara ya kupambana na ufisadi Jumatano asubuhi, ambayo inasimamia uchunguzi huo.
Maafisa wana saa 48 kumuhoji Yoon, baada ya hapo watatafuta hati ya kuendelea kumshikilia kwa siku 20 au kumuachia huru.
Yoon ni rais wa kwanza wa Korea Kusini kukamatwa akiwa madarakani, licha ya kuwa taifa hilo la Asia lina historia ya kuwafungulia mashtaka na kuwafunga jela viongozi wa zamani.
Polisi walikuwa walipeleka maafisa 3,200 kwenye makazi ya Yoon kutekeleza hati ya kumkamata Jumatano, ambako mamia ya waandamanaji wanaomuunga mkono Yoon na wanachama wa chama chake cha People Power walikuwa wamekusanyika kabla ya Alfajiri chini ya baridi kali. - Reuters
#koreakusini #rais #wafuasi #maandamano #ofisiyauchunguzi #ufisadi #voa #voaswahili
8 Feb 2025
- High temperatures will remain constant in most parts of the country, with some regions having highs of 38°C.
8 Feb 2025
- The NSSF Act is currently being implemented in phases following a court ruling that approved its hike.
8 Feb 2025
- Trump argued that USAID, the overseas aid agency, is not a valuable use of taxpayer money.
8 Feb 2025
- Outgoing Amani National Congress (ANC) officials have now told their party’s supporters not to be worried of the party folding to merge with President William Ruto's United Democratic Alliance (UDA
8 Feb 2025
- When Professor Abraham Kithure Kindiki took to the stage outside the Kenyatta International Convention Centre to take his oath of office as the third Deputy President of Kenya on November 1, 2024, the crowd erupted in cheers.
8 Feb 2025
- Leaders from Eastern and Southern African regional blocs gather in Tanzania on Saturday to seek a solution to the conflict in eastern Congo, where Rwandan-backed rebels have seized a major city in the worst escalation of fighting in more than a decade.
8 Feb 2025
- Canadian Prime Minister Justin Trudeau on Friday said U.S. President Donald Trump's talk about absorbing Canada "is a real thing" and is linked to the country's rich natural resources, a government source said.
8 Feb 2025
- International Criminal Court Prosecutor Karim Khan is the first person to be hit with economic and travel sanctions authorized by U.S. President Donald Trump that target the war crimes tribunal over investigations of U.S. citizens or U.S. allies, two…
8 Feb 2025
- Rwanda's President Paul Kagame was due to meet his Congolese counterpart Felix Tshisekedi in Tanzania on Saturday as regional leaders convene in a bid to defuse the conflict in Democratic Republic of Congo.
8 Feb 2025
- National Assembly Speaker Moses Wetang’ula has dismissed the High Court’s ruling on his dual role as Speaker and Ford Kenya party Leader, terming the decision as mere "ordinary comments" in law that are non-binding and have no practical effect.
8 Feb 2025
- When Kithure Kindiki joined President William Ruto's Cabinet in 2022 he wore a cloak of sanity, one that espoused a stark disdain for noisy and nosy politics. He manned the Interior Ministry as an equilibrist.
8 Feb 2025
- High temperatures will remain constant in most parts of the country, with some regions having highs of 38°C.
8 Feb 2025
- Dismas Otuke Serie A's incredible title race will possibly take another twist when Matchday 24 features Napoli hosting Udinese and Inter Milan taking on Fiorentina. Napoli have put together an amazing campaign under firebrand manager Antonio Conte, as…