Skip to main content
Skip to main content

Wafugaji kutoka maeneo ya Tigania na Igembe kaunti ya Meru wamemkosoa waziri wa usalama

  • | Citizen TV
    144 views
    Duration: 2:02
    Wafugaji kutoka maeneo ya Tigania na Igembe kaunti ya Meru wamemkosoa waziri wa usalama Kipchumba Murkomen kwa kusema kuwa mifugo wengi walioibiwa wamerejeshwa kutokana na operesheni ya usalama inayoendelea eneo ya malisho kaunti ya Meru.