- 420 views
Wafugaji wa samaki katika ufuo wa Ogal kaunti ya Kisumu wanakadiria hasara ya shilingi bilioni moja, baada ya samaki wanaofugwa kizimbani kuanza kufa ovyoovyo kuanzia jumapili usiku. Kulingana na wafugaji hao, hawakutarajia hali hiyo kuwafikia, kwani vizimba vyao havikuwa karibu na ufuo ambapo mchanganyiko wa maji unafanyika. Taasisi ya utafiti ya uvuvi na ubaharia nchini ilitabiri kuwa vifo zaidi vya samaki vitaendelea hadi mwisho wa mwezi Novemba, ambapo mabadiliko ya mkondo wa upepo ziwani yatakuwa yamekamilika. Wafugaji hao sasa wanawavua samaki hao walioangamia, na kuyakausha kabla ya kuuza ili kupunguza hasara waliyopata. Vizimba zaidi ya 600 vimeathirika katika ufuo wa Ogal Kisumu, na Homa Bay
Wafugaji wavua samaki wakiwa wachanga kwa kuogopa watakufa
- 6 Jul 2025 - Japan's government on Saturday warned of more possible strong earthquakes in waters southwest of its main islands, but urged the public not to believe unfounded manga comic-book predictions of a major disaster.
- 6 Jul 2025 - Traders affected by the recent demonstrations held in honour of victims of last year’s anti-Finance Bill protests are now struggling to rebuild their lives and livelihoods.
- 6 Jul 2025 - Deputy President Kithure Kindiki and other leaders backing the broad-based government have intensified attacks on the opposition, calling for unity to heal the nation.
- 6 Jul 2025 - The High Commission of Rwanda in Kenya has marked 31 years of liberation — a commemoration of the country’s remarkable transformation, from a painful past under an oppressive regime to a future defined by unity, progress, and resilience.
- 6 Jul 2025 - Joho leads Coast MPs in Ruto campaign
- 6 Jul 2025 - Mr President you risk bringing idolatry in church, State House
- 6 Jul 2025 - Kenya today: An angry nation sliding towards self-destruction
- 6 Jul 2025 - 35 years later, Saba Saba continues: Meeting of different generations, same script
- 6 Jul 2025 - Parliament's CDF coup: The Senate should halt this constitutional heist
- 6 Jul 2025 - Opposition leaders slam Ruto over state house church plans