- 836 views
Wahadhiri wa chuo kikuu cha Moi, pamoja na Madaktari wameandamana jijini eldoret hii leo. wahadhiri wanalalamikia malipo yao kucheleweshwa. hii ni licha ya muungano wa wahadhiri hapo jana kutia saini mkataba wa kurejea nyumbani kufuatia mkutano na wizara ya leba ambapo muungano wa wahadhiri -uasu- ulitangaza kusitishwa kwa mgomo. aidha madaktari chini ya chama cha kmpdu nao pia wameandamana wakipinga mpango wa Bima ya matibabu SHIF. Madaktari hao wanasema kuwa mpango huo utawakandamiza wananchi. wanaitaka serikali kuweka mikakati ya kutosha kabla ya kuanza kutekeleza bima hiyo.
Wahadhiri wa Chuo Kikuu Cha Moi waandamana kupinga utekelezaji wa bima ya SHA
- - Ligi Kuu ya FKF ››
- - Mandhari ya Wajir ››
- - Zogo la Mpira Kisii ››
- 4 May 2025 - A police officer died by suicide near his house in Turbi, Marsabit County.
- 4 May 2025 - Former Interior Cabinet Secretary Fred Matiang'i has pledged to restore public trust in the government if he clinches power in the 2027 general election.
- 4 May 2025 - He said the prosperity of Kenya is hinged on the unity of purpose that will propel development across the country.
- 4 May 2025 - During a thanksgiving service at his Wamunyoro home in Nyeri County, Gachagua accused key members of Ruto's inner circle, including State House operative Farouk Kibet and National Assembly Majority Leader Kimani Ichung'wah, of being used to attack…
- - Seven arrested over Naivasha robbery, ‘harmless’ pistol recovered
- 4 May 2025 - President Ruto hit by a shoe while addressing a rally in Migori County.
- 4 May 2025 - Speaking during a public forum in Bungoma, Wetang’ula emphasized that the move will significantly reduce the need for residents to seek treatment in distant facilities such as Eldoret and Nairobi.
- 4 May 2025 - According to a media statement released on Sunday, the arrests were made after investigators analyzed key leads.
- 4 May 2025 - Prime Cabinet Secretary and Cabinet Secretary for Foreign Affairs Musalia Mudavadi has called on the people of Mt Kenya region to join other Kenyans in forging for the unity of the country.
- 4 May 2025 - The doctors' strike in Kakamega County has entered its third week, with health workers decrying years of stalled promotions, unpaid statutory deductions, and exploitative contracts, even as the Kenya Medical Practitioners, Pharmacists and Dentists Union…