Wahouthi watumia kombora jipya Palestine kuishambulia Israel
Video iliyotolewa na ofisi ya habari ya Ansar Allah ya waasi wa Kihouthi wa Yemen Jumatano, Juni 5, 2024, inaonyesha kombora Palestine likirushwa kutoka katika eneo la Yemen linalodhibitiwa na waasi.
Waasi wa Kihouthi wamezindua aina mpya ya kombora linalofanana na lile ambalo liliwahi kuonyeshwa na Iran na Tehran ikilielezea kuwa lina spidi ya haraka zaidi mara tano kuliko spidi ya sauti.
Waasi hao walifyatua kombora hilo kuelekea upande wa kusini mwa bandari ya Ghuba ya Aqaba ya mji wa Eilat ndani ya Israel siku ya Jumatatu. Shambulizi hilo liliwasha ving’ora vya tahadhari kuashiria shambulizi la anga lakini hapakuwa na uharibifu wowote wala majeruhi. - AP
#Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #wahouthi #marekani #uingereza #shambulizi #dhamar #yemen
11 Aug 2025
- The clip of the assault went viral over the weekend.
11 Aug 2025
- Several adverts have been posted online.
11 Aug 2025
- Lagat has largely maintained a 'low profile' since his return to office.
11 Aug 2025
- The British High Commissioner to Kenya, Neil Wigan is set to depart Kenya at the end of August marking an end to his 2 year tenure at the position.
11 Aug 2025
- Police in Eldoret have commenced investigations into an incident where a man received a parcel with three human fingers enclosed with six bullets.
11 Aug 2025
- Police in Eldoret have commenced investigations into an incident where a man received a parcel with three human fingers enclosed with six bullets.
11 Aug 2025
- Deputy Inspector General (DIG) of Police Eliud Lagat argues that the decision on whether to charge him over the death of blogger Albert Omondi Ojwang lies exclusively with the Director of Public Prosecutions (DPP) and not the courts.
11 Aug 2025
- The exposé contained footage allegedly showing minors being recruited into commercial sex work in Mai Mahiu
11 Aug 2025
- The ticketing malady witnessed in the ongoing CHAN 2024 competitions in Kenya has attracted censures from political leaders as many question the transparency of allowing football fans to secure tickets.
11 Aug 2025
- The clip of the assault went viral over the weekend.
11 Aug 2025
- "I am extremely sorry to be leaving Kenya after a whirlwind two years," Wigan said.
11 Aug 2025
- Several adverts have been posted online.
11 Aug 2025
- Mexico City's Benito Juarez International Airport suspended operations for several hours Sunday after heavy rains flooded the capital and caused poor visibility, authorities said.