- 610 viewsDuration: 2:15Wadau katika sekta ya usafiri nchini wahimizwa kuendelea kukumbatia matumizi ya tuktuk za umeme na kutema zile za dizelinna oetroli kwa lengo la kupunguza uzalishaji wa hewa kaa na kusaidia taifa kuafikia malengo yake ya kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi.