Skip to main content
Skip to main content

Wahudumu wa afya chini ya UHC waandamana wakitaka kuajiriwa kwa masharti ya kudumu

  • | KBC Video
    279 views
    Duration: 3:01
    Mamia ya wahudumu wa afya chini ya mpango wa afya kwa wote, UHC, waliandamana jijini Nairobi kushinikiza utekelezaji mara moja wa agizo la rais la kuwaajiri kwa masharti ya kudumu. Wahudumu hao ambao wanasema wamesubiri kwa miaka sita kwa utekelezaji huo pia wanataka walipwe marupurupu ya baada ya kukamilisha kandarasi zao jinsi walivyoahidiwa na serikali. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive