Skip to main content
Skip to main content

Wahudumu wa afya waandamana Nairobi wakidai mishahara ya miezi mitatu

  • | Citizen TV
    1,059 views
    Duration: 3:02
    Wahudumu wa afya kaunti ya Nairobi wameandamana wakidai mishahara yao ya miezi mitatu. Wahudumu hao chini ya vyama saba vya wahudumu wa afya wamemkashifu gavana wa Nairobi Johnson Sakaja kwa kukiuka makubaliano yao ya awali na kukosa kuwajibika