- 34 viewsDuration: 2:11Wahudumu wa afya ya jamii katika Kaunti ya Kilifi wameitaka serikali na wahisani kuwawezesha kifedha ili waanzishe miradi ya kiuchumi. Wamesema marupurupu wanayopokea hayatoshi kukidhi mahitaji yao, huku baadhi wakidai hawajalipwa kwa miezi mitano.