Skip to main content
Skip to main content

Wahudumu wa bodabodakatika eneo la Kanduyi katika kaunti ya Bungoma wapinga uvumi wa pesa kufujwa

  • | Citizen TV
    547 views
    Duration: 2:02
    cWahudumu wa bodaboda wa eneo bunge la Kanduyi katika kaunti ya Bungoma wajitokeza na kupuuzilia mbali uvumi uneneao mitandaoni kuwa shilingi milioni 3.6 zilizochangwa wakati wa hafla ya mchango wa wanabodaboda siku ya ijumaa zafujwa.