Skip to main content
Skip to main content

Wakaazi wa Endebess wakashifu mradi wa soko la kisasa

  • | Citizen TV
    125 views
    Duration: 2:19
    Wakazi wa eneo bunge la Endebess, Kaunti ya Trans Nzoia, wameikashifu serikali kuu kwa kuanzisha mradi wa ujenzi wa soko la kisasa lenye thamani ya takribani shilingi milioni 50 bila kushirikisha maoni yao.