- 469 viewsDuration: 2:27Wakaazi wa kaunti ya Lamu wameshinikiza haja bandari ya Lamu kujisimamia yenyewe na biashara kuimarishwa ili waweze kufaidika kwa kupata kazi na mapato. Wanalalamika kuwa bandari ya Lamu kusimamiwa chini ya bandari ya Mombasa kunawanyima nafasi wakazi w aLamu kufaidika na bandari hiyo.