Skip to main content
Skip to main content

Wakaazi wazuia uchukuzi katika barabara ya Kajiado wakilalamikia barabara mbovu

  • | Citizen TV
    811 views
    Duration: 3:25
    Wakazi wa maeneo ya Kirima kaunti ya Kajiado wanalalamikia hali mbaya ya barabara inayotumika kuelekea katika milima ya Ngong, wakisema kuwa imekuwa changamoto kwa muda mrefu bila hatua zozote kuchukuliwa. Wakaazi hao walitataiza uchukuzi wa watalii katika eneo hilo.