Skip to main content
Skip to main content

Wakazi Malindi wahimizwa kudhibiti utupaji takataka

  • | KBC Video
    96 views
    Duration: 1:38
    Jamii ya wafanyabiashara mjini Malindi, imehimizwa kuacha kutupaji takataka kiholela kwani kufanya hivyo kunaziba mifereji ya uondoaji maji taka. Watetezi wa mazingira katika eneo hilo walielezea kufadhaishwa na mirundiko ya taka mjini humo, walionya kwamba inaharibu mazingira na kuhatarisha afya. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive