- 326 viewsDuration: 2:57Wakazi wa kaunti za Kisii na Taita Taveta hii leo wamepata fursa ya kutoa maoni yao kuhusu mapendekezo ya serikali kuuza asilimia 15 ya hisa zake katika kampuni ya Safaricom. Katika vikao hivyo vilivyoongozwa na kamati ya Bunge ya Fedha na Mipango ya kitaifa, baadhi ya raia walieleza shauku kuhusu namna pesa zitakazopatikana zitatumika.