Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wa Matisi Trans Nzoia wamelalamikia ongezeko la ajali katika barabara kuu ya Suam

  • | Citizen TV
    492 views
    Duration: 3:04
    Wakazi wa eneo la Matisi, kaunti ya Trans Nzoia, wamelalamikia ongezeko la ajali katika barabara kuu ya kuelekea mpaka wa Suam nchini Uganda, wakisema kuwa ndani ya kipindi cha chini ya miezi sita, zaidi ya watu 16 wamepoteza maisha yao kutokana na kugongwa na magari yenye mwendo wa kasi.