Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wa Mikindani, Mombasa wanufaika na mradi wa kusafisha maji taka

  • | Citizen TV
    1,082 views
    Duration: 3:12
    Miji mingi nchini Kenya inakabiliwa na changamoto ya maji taka — tatizo linaloleta magonjwa na kuchafua mazingira. Lakini kwa wakazi wa Mikindani, kaunti ya Mombasa, suluhu imepatikana. Sasa, maji taka kutoka nyumba za watu zaidi ya elfu 40 yanasafishwa na kutumika mashambani, na kubadilisha taka kuwa rasilimali ya kijiji.