Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wa Nyaibasa Kisii walalamika barabara imefungwa

  • | Citizen TV
    544 views
    Duration: 1:32
    Wakazi wa kijiji cha Nyaibasa, kule Baasi Nyamache kaunti ya Kisii wameandamana baada ya watu mashuhuri serikalini kulima na kufunga barabara wanayodai ilitengenezwa na serikali ya kaunti ya Kisii kusaidia kurahihisha shughuli za usafiri .