Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wa Rabai, Kilifi, walalamikia uhaba wa maji kwa mwaka mmoja

  • | KBC Video
    4 views
    Duration: 1:16
    Wakazi wa eneo bunge la Rabai, Kaunti ya Kilifi, waliandamana kulalamikia uhaba wa maji safi ya kutumia nyumbani kwa muda wa mwaka mmoja. Waandamanaji hao walielekea katika ofisi za Kampuni ya Maji ya Kilifi Mariakani (KIMAWASCO), wakiwalaumu maafisa wake kwa uzembe. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive