Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wa Sagana, Kagio na Wang’uru kupata manispaa katika kaunti ya Kirinyaga

  • | Citizen TV
    311 views
    Duration: 2:27
    Wakazi wa Sagana, Kagio na Wang’uru wameunga mkono pendekezo la Serikali ya Kaunti ya Kirinyaga kubuni manispaa mbili mpya, hatua inayolenga kuimarisha mipango ya miji na kufungua fursa za ufadhili kutoka Serikali Kuu na washirika wa maendeleo.