Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wa vijiji vya Goda na Bulesa kaunti ya Isiolo wanufaika na maji

  • | Citizen TV
    210 views
    Duration: 1:45
    Wakazi wa vijiji vya Goda na Bulesa katika wadi ya Chari, kaunti ya Isiolo wamenufaika kutokana na kukamilika kwa mradi wa maji wa Kenya Rapid Plus na shirika la Catholic Relief Services.