Skip to main content
Skip to main content

Wake wa magavana waendeleza kampeini ya chanjo ya HPV kaunti ya Pokot Magahribi

  • | Citizen TV
    311 views
    Duration: 3:51
    Muungano wa Wake wa Magavana nchini umetua katika Kaunti ya Pokot Magharibi kwa kampeni kabambe ya kusisimua chanjo dhidi ya saratani ya uzazi. Hatua hii imechukuliwa baada ya takwimu kufichua kuwa ni asilimia nne pekee ya wasichana waliolengwa ambao wamepokea chanjo hiyo, ikilinganishwa na asilimia 79 ya kitaifa. Ziara hiyo inalenga kuongeza mwamko na kuwafikia wasichana wengi zaidi ili kulinda afya zao.