Skip to main content
Skip to main content

Wakristo waadhimisha sikukuu ya Ijumaa Kuu kote duniani

  • | Citizen TV
    2,659 views
    Duration: 43s
    Wakristo wajumuika kwenye Makanisa mbalimbali kwa ibada ya ijumaa kuu, huku waumini wa kanisa katoliki wakishiriki matembezi ya njia ya msalaba kama ishara ya kukumbuka kusulubiwa kwa YESU KRISTO MSALABANI.