Wakulima Busia wahimizwa kuchangamkia kilimo cha soya

  • | Citizen TV
    104 views

    Wakulima kote nchini wamehimizwa kuchangamkia kilimo cha soya ili kukabili uhaba mkubwa wa zao hilo, ambao kwa sasa unasababisha Kenya kutegemea uagizaji kutoka mataifa jirani kama Uganda na Zambia