- 280 views
Wakulima na wafugaji katika kaunti ya Kajiado wamenufaika na vifaa vya kuendesha kilimo na kupiga jeki ufugaji hasa wakati huu ambapo wengi kaunti hiyo wanakabiliana na ukame. Vifaa hivyo ambavyo ni pamoja na mashine za kupanda na kuvuna nyasi, viungulio, mashine za kawi ya jua, ,iongoni mwa vifaa vingine vinatarajiwa kuimarisha ukulima pamoja na ufugaji kwa wakaazi elfu kumi, na hivyo kuongeza mapato kwao.Wakulima na wafugaji waliopokea vifaa hivyo ambavyo vimegharimu shilingi milioni 10. Hata hivyo Wakulima hao wanataka tatizo la uhaba wa maji kutatuliwa
Wakulima na wafugaji Kajiado wanufaika na vifaa vya ukulima
- 6 Jul 2025 - Japan's government on Saturday warned of more possible strong earthquakes in waters southwest of its main islands, but urged the public not to believe unfounded manga comic-book predictions of a major disaster.
- 6 Jul 2025 - Traders affected by the recent demonstrations held in honour of victims of last year’s anti-Finance Bill protests are now struggling to rebuild their lives and livelihoods.
- 6 Jul 2025 - Deputy President Kithure Kindiki and other leaders backing the broad-based government have intensified attacks on the opposition, calling for unity to heal the nation.
- 6 Jul 2025 - The High Commission of Rwanda in Kenya has marked 31 years of liberation — a commemoration of the country’s remarkable transformation, from a painful past under an oppressive regime to a future defined by unity, progress, and resilience.
- 6 Jul 2025 - Kenya today: An angry nation sliding towards self-destruction
- 6 Jul 2025 - 35 years later, Saba Saba continues: Meeting of different generations, same script
- 6 Jul 2025 - Parliament's CDF coup: The Senate should halt this constitutional heist
- 6 Jul 2025 - Opposition leaders slam Ruto over state house church plans
- 6 Jul 2025 - Saba Saba's long harvest and why struggle is never wasted
- 6 Jul 2025 - Joho leads Coast MPs in Ruto campaign