Skip to main content
Skip to main content

Wakulima wa majani chai washauriwa kutong'oa michai Kericho

  • | Citizen TV
    480 views
    Duration: 1:43
    Wakulima wa majani chai wameshauriwa kutong'oa michai kwenye mashamba yao kutokana na bonasi duni ya chai iliyotangazwa majuzi. Huu ni ushauri wa viongozi wa kina mama kutoka muungano wa wanawake wakulima wa chai wakizungumza kaunti ya Kericho.