- 1,838 views
Polisi katika kaunti ya Kisii wanawazuilia walimu wanne waliokamatwa katika shule ya upili ya Bombaba eneo la Bomachoge Chache baada ya karatasi za mtihani zenye majibu kupatikana mtihani wa KCSE ulipokuwa ukiendelea. Kamanda wa polisi Kisii Charles Kases anasema maafisa wa baraza la mitihani la KNEC waliokuwa wakifanya ziara eneo hilo walinasa karatasi za mtihani wa Jiografia zilizokuwa na majibu mchana wa leo. Kati ya waliokamatwa ni meneja wa kituo hicho Edwin Mokaya, walimu Gideon Omondi, Joseph Nyaosi na Ezekiel Nyambane. Wanne hao wanatarajiwa kufikishwa mahakamani hapo kesho. Hayo yanajiri wakati ambapo wizara ya elimu inashikilia kuwa watafanya jitihada zaidi kuhakikisha kuwa watakaokiuka sheria za mtihani wa kitaifa watakabiliwa kisheria.
Walimu 4 wakamatwa kwa tuhuma za wizi wa mitihani Kisii
- 11 May 2024 - The 11-member Select Commitee tasked with investigating Agriculture Cabinet Secretary Mithika Linturi has embarked on writing its report after winding up its three-day trial at Parliament buildings.
- 11 May 2024 - Kenya and the Democratic Republic of Congo (DRC) have resumed full diplomatic ties days after the Kenya Airways incident that had put the two countries' relationship in limbo.
- 11 May 2024 - Three people were injured on Friday as the tussle surrounding the ownership of a 66-acre piece of land in Karen escalated.
- 10 May 2024 - Hope was fading Friday for 44 construction workers buried for days in the rubble of a building that collapsed in South Africa.
- 10 May 2024 - Police in Athi River, Machakos County, are investigating the gruesome murder of a Ohangla dancer Sheila Odoyo, popularly known as Sheila Wegesha.
- 10 May 2024 - A family from Machakos is demanding justice for their daughter who was reportedly murdered in cold blood by unknown individuals.
- 10 May 2024 - At least one police officer was injured in the attack.
- 10 May 2024 - The Ministry of Education has now issued new instructions to guide the smooth return to school for learners and institutions of learning across the country.
- 10 May 2024 - Parents directed to enforce school attendance and work closely with teachers to ensure safety of students.
- 10 May 2024 - At least one police officer was injured in the attack.