Skip to main content
Skip to main content

Walimu wa watoto wenye mahitaji maalumu wakusanyika Mombasa kwa warsha ya kitaifa ya tatu

  • | Citizen TV
    422 views
    Duration: 1:38
    Walimu wanaofunza watoto wenye mahitaji maalumu wamekusanyika likoni Mombasa kwa warsha ya tatu ya mafunzo ya kitaifa, iliyoandaliwa na chama cha michezo kwa wasioweza kuona na wizara ya elimu.