- 148 views
Shule za sekondari za umma zinakabiliwa na hali ngumu huku shughuli nyingi zikitatizika kutokana na ukosefu wa umma. Hali hii imesababishwa na kucheleweshwa kwa fedha za ufadhili zinazotolewa na serikali. Mwenyekiti wa muungano wa walimu wakuu wa shule za sekondari - KESSHA- Willy Kuria, amesema kuwa wizara ya elimu ilitoa shilingi 8,319 kwa kila mwanafunzi katika awamu ya kwanza ya ufadhili wa muhula wa kwanza badala ya shilingi 11,122. walimu wakuu hawajapokea ufadhili uliosalia wa muhula wa kwanza na ufadhili wa muhula wa pili. Kuria anasema kuwa hali hiyo inatatiza shule za umma kwani muhula wa pili una shughuli nyingi zaidi.
Walimu wakuu walilia pesa za wanafunzi
- - Tamati ››
- 1 May 2025 - President William Ruto has announced that pensions and gratuity payments for workers both in the private and public sectors will be tax-free beginning the next financial year.
- 1 May 2025 - Former Interior Cabinet Secretary Fred Matiang'i is set to make his first public appearance this year in the Gusii region on Friday, May 2, 2025.
- 1 May 2025 - A Grade 2 pupil was on Wednesday evening swept away by floods in Milimani area, Nakuru County, after a heavy downpour led to severe flooding in several parts of the town.
- 1 May 2025 - The family of slain Kasipul Member of Parliament Charles On'gondo Were has shifted blame to the government following his assassination on Wednesday night in Nairobi.
- 1 May 2025 - Their labour struggles shaped May Day as they demanded dignity and justice.
- 1 May 2025 - This tragic incident adds to a grim list of Kenyan Members of Parliament who have been murdered while serving in office.
- 1 May 2025 - The MP abandoned his usual car after developing an instinct that his life was in danger.
- 1 May 2025 - The tour will begin in Nyasiong'o, to Keroka, Kiumbu, Kisii roundabout and Ikonge Market.
- 1 May 2025 - Kasipul MP was shot dead in Nairobi, an act that has been described as shocking and barbaric.
- 1 May 2025 - Global health funding faces historic challenges as donor countries reduce their contributions, the director of the World Health Organisation said on Thursday. U.S. President Donald Trump’s administration withdrew from the WHO upon taking office in…