Skip to main content
Skip to main content

Walimu zaidi ya 100 katika kaunti ya Busia wamepata mafunzo ya kutumia akiliunde (AI)

  • | Citizen TV
    172 views
    Duration: 2:28
    Walimu zaidi ya mia moja katika kaunti ya Busia wamepata mafunzo ya namna ya kutumia akiliunde (AI) darasani ili kuboresha na kuandaa masomo yanayoambatana na mahitaji ya wanafunzi haswa wa mtaala wa CBE.