'Waliponiona kila mtu alilia wakiniambia mazishi yangu yalishafanyika.'

  • | BBC Swahili
    560 views
    Licha ya kuimarika kwa hali ya usalama huko Jamhuri ya Afrika ya Kati, nchi hiyo bado ni miongoni mwa nchi yenye mazingira mabaya zaidi duniani kwa watoto. Kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF, mtoto mmoja kati ya wawili wanakosa huduma za afya. Na changamoto kuu ni kuunganishwa tena katika jamii ya watoto wenye majeraha ya kihisia na kisaikolojia ambao walilazimishwa kuingia katika vikundi vya mapigano katika vita. #bbcswahili #Afrikayakati #CAR Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw