Skip to main content
Skip to main content

Wanachama wa Maendeleo ya Wanawake wahimizwa kutumia mifumo ya ndani kutatua migogoro

  • | KBC Video
    33 views
    Duration: 1:52
    Uongozi wa shirika la maendeleo ya wanawake katika Kaunti ya Kisumu unawahimiza wanachama kutumia mifumo iliyopo ya ndani ya kutatua migogoro ili kumaliza tofauti zozote zinazoweza kujitokeza, badala ya kuweka malalamiko yao hadharani Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive