- 290 views
Siku chache baada ya Mahakama ya Kajiado kutupilia mbali kesi iliyowasilishwa kupinga Uchaguzi wa Viongozi wa shamba la Mailwa katika eneo la Kajiado ya Kati, Viongozi wa zamani pamoja na wanachama wanapinga vikali uamuzi huo na kuapa kukata rufaa.Kwa Mujibu wa kundi hilo, Viongozi walioidhinishwa kupitia uamuzi huo wa mahakama wanaandamwa na misururu ya kesi kuhusu madai ya kuwalaghai wanachma vipande vyao vya ardhi. aidha wanasema kuwa uchaguzi uliendeshwa bila kuzingatia sheria.
Wanachama wa shamba la Mailwa, Kajiado, wanapinga uchaguzi wa viongozi
- 6 Jul 2025 - Japan's government on Saturday warned of more possible strong earthquakes in waters southwest of its main islands, but urged the public not to believe unfounded manga comic-book predictions of a major disaster.
- 6 Jul 2025 - Traders affected by the recent demonstrations held in honour of victims of last year’s anti-Finance Bill protests are now struggling to rebuild their lives and livelihoods.
- 6 Jul 2025 - Deputy President Kithure Kindiki and other leaders backing the broad-based government have intensified attacks on the opposition, calling for unity to heal the nation.
- 6 Jul 2025 - The High Commission of Rwanda in Kenya has marked 31 years of liberation — a commemoration of the country’s remarkable transformation, from a painful past under an oppressive regime to a future defined by unity, progress, and resilience.
- 6 Jul 2025 - Kenya today: An angry nation sliding towards self-destruction
- 6 Jul 2025 - 35 years later, Saba Saba continues: Meeting of different generations, same script
- 6 Jul 2025 - Parliament's CDF coup: The Senate should halt this constitutional heist
- 6 Jul 2025 - Opposition leaders slam Ruto over state house church plans
- 6 Jul 2025 - Saba Saba's long harvest and why struggle is never wasted
- 6 Jul 2025 - Joho leads Coast MPs in Ruto campaign