Skip to main content
Skip to main content

Wanafunzi 10 wajeruhiwa baada ya basu kupinduka

  • | Citizen TV
    9,675 views
    Duration: 34s
    Wanafunzi 10 kutoka shule ya Bishop Okoth wamepata majeraha madogo baada ya basi walilokuwa wakisafiria kupoteza mwelekeo na kupata ajali katika eneo la Kimende. Basi hilo lilikuwa limewabeba wanafunzi 45.