3 Jun 2026 7:11 pm | Citizen TV 361 views Duration: 1:21 Wanafunzi tisa wa Shule ya Upili ya Wasichana ya Utumishi wanaozuiliwa kwa madai ya kuhusika na kisa cha moto shuleni humo watasalia rumande kwa siku 21 kuruhusu maafisa wa upelelezi kukamilisha uchunguzi wao.