Shule ya wanafunzi walio na mahitaji Maalum ya Katangi katika Kaunti ya Machakos ilipokea msaada wa chakula, mavazi, na bidhaa za kimsingi kutoka kwa wanafunzi na wahadhiri wa Chuo Kikuu cha South Eastern (SEKU). Mchango huo ambao ni sehemu ya uhisani kwa jamii ulilenga kushughulikia baadhi ya changamoto zinazowakabili wanafunzi wa shule hiyo.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive