Skip to main content
Skip to main content

Wanafunzi watishia maandamano iwapo serikali haitatatua mgomo wa wahadhiri

  • | Citizen TV
    5,544 views
    Duration: 2:32
    Baadhi ya wanafunzi wa vyuo vikuu vya umma humu nchini sasa wanatishia kuandamana iwapo serikali haitatatua mgomo wa wahadhiri unaoendelea kwa wiki tatu sasa. Wanafunzi wanalalamikia kusalia bila masomo kufuatia mgomo huo, huku wakitaka suluhu ya haraka kati ya wahadhiri na serikali