Skip to main content
Skip to main content

Wanafunzi wawili wa chekechea wafariki Kayole baada ya kuangukiwa na vifusi vya ujenzi

  • | Citizen TV
    60 views
    Wanafunzi wawili wa shule ya chekechekea ya Emmanuel New Life Centre iliyoko mtaani Kayole hapa Nairobi wamefariki baada ya kuangukiwa na vifusi vya nyumba jirani iliyokuwa ikijengwa