- 66 views
Wanahabari kadhaa kutoka mashirika tofauti ya habari walijeruhiwa jana usiku, baada ya kuvamiwa na walinzi wa klabu wakati wa msako wa uvutaji Shisha unaoendelezwa na halmashauri ya kitaifa ya kukabiliana na uraibu wa pombe na mihadarati, NACADA katika eneo la burudani la Kettle House Bar and Grill mtaani Lavington Muthangari, kaunti ya Nairobi. Baadhi ya wale waliojeruhiwa ni pamoja na mpiga picha wa shirika la utangazaji KBC Jane Kibira na maafisa kadhaa wa polisi. Afisa wa halmashauri hiyo anayeongoza msako huo Nicholas Kosgei amelaani vikali kisa hicho, akisema kwamba hawatalegeza kamba katika vita vya kukabiliana na dawa za kulevya. Muungano wa wanahabari humu nchini umekashifu tukio hilo huku ukitaka wahusika kuchukuliwa hatua za kisheria.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Wanahabari kadhaa wajeruhiwa wakati wa msako wa uvutaji shisha unaoendelezwa na NACADA
- - LIVE|| TV47 WIKENDI ››
- 5 May 2024 - Motorists plying the Kisumu- Nairobi highway have been forced to persevere an hours-long snarl-up at the Ahero area after river Nyando burst its banks on Saturday night forcing water to flow over the Ahero bridge.
- 5 May 2024 - The Tanzania Meteorological Authority (TMA) confirmed on Saturday that following a 6-hour watch of the weather patterns they established that Tropical Cyclone Hidaya "has completely lost its strength".
- 5 May 2024 - The church service and fundraiser are being held at Saint Mark New Kamiti Church.
- 5 May 2024 - The government says nine people have died in the last 24 hours.
- 5 May 2024 - Body of a 5-year-old girl, whose mother jumped with her into river Nyamindi in Kirinyaga County has been found.
- 5 May 2024 - Coast Guard and the Kenya Red Cross Society have already responded to the scenes.
- 5 May 2024 - The moderate to heavy rainfall will be accompanied by thunderstorms.
- 5 May 2024 - Reading Time: < 1 minute The Kenya National Highways Authority (KeNHA) has announced the reopening of the Nakuru-Eldoret (A8) highway following successful repairs at Timboroa. […]
- 5 May 2024 - Time to free civil service from clutches of political patronage
- 5 May 2024 - Ruto pushes House to entrench CDF in law